KLABU ya Yanga imesema msafara wa wachezaji na viongozi wa MC Alger kutoka Algeria uliotarajiwa kuwasili nchini jana alfajiri haujaonekana, hivyo hali hiyo imewataka kuongeza umakini kuelekea mchezo ...
WAKATI inatarajia kuwakaribisha Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayochezwa leo kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam, benchi la ufundi la Yanga limesema wana michezo 15 ya ...